Kama nilivyotangulia kusema awali kuwa,hawa 
 watoto ndiyo mashabiki wetu wakubwa,na mara 

nyingi hawapati fursa ya

 kuhudhuria maonyesho yetu

 ama kukutana na

 sisi..hivyo kutokana na kuwa awali,video 

ya number 1 version ya

 kwanza niliizndua kwa baadhi ya 

watu special pekee..awamu hii,video ya

 number one remix

 niliyoifanya na 

Davido wa Nigeria..nimeamua kuionyesha kwa

 mara ya kwanza kwa

 watoto waishio katika

 mazingira magumu..usisahau pia kuwa tarehe 25

 mwezi huu.mchana .pale Leaders club nitakuwa

 na tamasha  

special kwa  ajili ya watoto ambao wengi hawapati fursa ya

 kuona maonyesho yetu..na siku hiyo hiyo usiku

 tutakuwa Mwanza..get ready ...




 watoto wakiangalia kwa makini kabisa

 Nikisaini Kitabu cha wageni kabla sijaondoka
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO
 
Top