ddd

 Mchezaji Cristiano Ronaldo ametoka na mwanae wa kiume mwenye umri wa miaka mitatu “Cristiano Junior” wakizindua museum huko Madeira Portugal Jumapili iliyopita.

Mtoto huyo sio kawaida  kuonekana mara nyingi hasa sehemu kama hii ambayo inavuta camera nyingi za media tofauti.

Musuem hiyo ilizinduliwa na Ronaldo akisaidiwa na mwanae na itakua na masanamu,tuzo,makombe na jezi zake kwenye maisha yake ya soka.
ron2 article-0-1A1FF1B500000578-234_634x409 article-0-1A24E3B700000578-455_634x486 article-2526363-1A20036000000578-481_634x999 ron
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO
 
Top