Zitto Kabwe

Hoja yake ni kupinga kuitisha kamati kuu kabla shauri lake kusikilizwa na Baraza Kuu.

Anadai anataka mahakama iagize kamati kuu kutojadili suala lake mpaka baraza kuu likae kuamua rufaa yake.

Wanasheria wa Chama wakiongozwa na Tundu Lissu wanaenda Mahakamani kusikiliza pingamizi hilo ambalo litakuwa limeenda kwa hati ya dharura.

Nitawaletea kinachoendelea.


Update,

1. Wakili wa ZZK ni Alberto Msando.

2. Mawakili wa pande zote wapo Mahakamani.

3. Msando ndiyo ameruhusiwa kuanza kuwasilisha.

4. Jaji Utamwa ndiye anayesikiliza pingamizi hilo
CHANZO:Jamiii Forums
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO
 
Top