Msanii wa filamu Hemedy Suleiman aka PHD amerejea Dar es Saalam hapo jana toka Zambia alikoalikwa kutengeneza filamu iitwayo ‘Tangled Mess’.

Hemed akiwa katika pozi na wenzake. Hemedy akiwa katika pozi na wenzake

Pamoja na Hemedy, filamu hiyo ya kumuenzi Kanumba imehusisha wasanii mbalimbali wa Zambia akiwemo Cassie Kabwita, mshiriki wa BBA 8, Sulu Banda,mwanamuziki mkongwe wa Zambia Moureen Lilanda na Dj mkongwe wa Zambia DJ Yahya Kiba.
Hemed akiwa Airport hapo jana akijerea Dar. Hemedy akiwa Airport hapo jana akijerea Dar
IMG-20131219-WA0007
IMG-20131219-WA0008
IMG-20131219-WA0009
IMG-20131219-WA0011
IMG-20131219-WA0012
IMG-20131219-WA0017
IMG-20131219-WA0019
IMG-20131219-WA0020

IMG-20131219-WA0022
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO
 
Top