Hemedy Suleiman'PHD'. 
Msanii wa filamu Hemedy Suleiman'PHD' amealikwa kufanya filamu iitwayo ‘Tangled Mess’ na mastaa wa Zambia akiwemo shiriki wa BBA 8, Sulu Banda,mwanamuziki mkongwe wa Zambia Moureen Lilanda na Dj mkongwe wa Zambia DJ Yahya Kiba kwa ajili ya kumuenzi Kanumba.
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO
 
Top