Download na install
Youwave au BlueStarks kwenye pc yako, ni mobile emulators zitakozokuwa
na interface ya android kisha utaona apps, whatsapp imo ndani chagua
fanya config kama kwenye simu na utakuwa tayari kuanzakutumia. Tahadhari hakikisha computer yako ina ram kuanzia 2 Mb na Graphic Accelerator ziwe update.Thanks kama hujaelewa tupia comment upate ufahamu zaidi.
Hii ni csreenshot ya YouWave
Hii ni screenshot ya BlueStacks
Kwa wale wapenz wa whatsapp hapa ni mpango.
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO