"Kila jambo lina muda na wakati wake.. usilazimishe kurudisha saa nyuma wakati ulishachelewa....kubali kushindwa na jipange upya ili upate kushinda siku nyingine..thanx Wastara kwa kufanya kazi yangu pamoja na mimi kupitia kampuni yako ya Wajey film usivunjike moyo kwa mane no ya viblog uchwara na mane no ya binadamu wasiokua na akili timamu" Mr Bond



"LIKE HABARI HIII HAPA CHINI"
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO
 
Top