Hii haina kudanganya kabisa,  ni tukio la aina yake ambalo halijawahi kutokea na kushuhudiwa na maelfu ya watu ambapo Mmoja ya wanyama wanaokimbia zaidi Duniani Duma kubaki na Bumbuwazi baada ya kuachwa mbali katika mashindano ya mbio ambapo mnyama huyo alishindanishwa na Binadamu. 
Uwezo huo mkubwa wa binanadamu kuonekana amefanikiwa kumshinda Duma umefanywa na Shirika la NatGeo ambao wanahusika na maswala ya wanyama , ambapo waliwachukua jamaa wawili ambao wanakimbia zaidi huko Florida 

Hivi ndivyo ilivyo kuwa 
Wild race: Chicago Bears Devin Hester races a cheetah during a scientific matchup between nature's fastest land mammal and the super-agile wide receiver and kick returner in the Big Cat Week special Man Vs. Cheetah
 Huu ulikuwa ni mpambano wa kukata na shoka huku mnyama Duma akitokea upande wa chini kama inavyo onekana pichani na Devin Haster akitokea upande wa juu , Katika mpambano huu Duma alionekana kushindwa vibaya  baada ya kijana huyo kuwahi kuvuka mstari.
Who's faster? Tennessee Titans running back Chris Johnson goes toe-to-paw against a cheetah on a 220-foot-long course at Busch Gardens Tampa
 Hapatoshiiii hapa... Tazama Duma huyu akikimbia na kutimua mbio zake zote lakini ziliishia sakafuni pale  Chris Johnson alipo mbwaga vibaya katika Mbio hizo ambazo mwanadamu alionekana ndiye anakimbia zaidi kuzidi wanyama hao.
Grand unveiling: The one-hour documentary called Man v Cheetah, which was shot back in May, premieres tonight at 9pm
  "Du Wanadamu Hatari sana yani kumbe ndivyo wanavyokimbia" ni kama hawa Duma walikuwa wakiyawaza maneno haya

Hester
Johnson

 Hawa ndio Jamaa waliowatoa Nje Duma hao katika mbio
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO
 
Top