Hii  ni  maiti  nyingine  iliyozua  kizaa zaa  nchini  Kenya  baada  ya  kugoma  kuzikwa.....!

Zaidi  ya  magari  10  yalishindwa  kuisafirisha  maiti  hii  na  ndipo  ndugu  wa  marehemu  akiwemo  dada  yake   Kitinda  walipompigia  magoti  marehemu  wakimuomba  afungue  njia  ili  akapumzike  kwa  amani.

Tazama  video  hapo  chini:



SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO
 
Top