Pichani ni Diamond Platnumz msanii kutoka bongo akiwa na bwana harusi Peter wa Psquare pale walipokutana huko Lagos Nigeria kwenye harusi ya Peter. Diamond yupo nchini Naija kwaajili ya utengenezaji wa video yake mpya ya wimbo Number One remix aliyomshirikisha msanii kutoka huko huko Naija anaitwa Davido. Nadhani tutegemee mambo mazuri sana kutoka kwa Diamond

 
 Emanuel Adebayo & Diamond


 
 Diamond & Iyanya


 
 Peter & Emanuel Adebayo

SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO
 
Top