
Picha za uchi zimeendelea kuwa fasheni kwa wasanii wa kike Tanzania ambao wengi wao wanaamini kuwa bila kujianika uchi hawawezi kuuza filamu zao...
Huyu ni Coletha Raymond 'Koleta' , mrembo niliyedhani anajiheshimu kumbe naye chenga tupu....

Hii ni picha ya kiuno chake kilichopambwa shanga za kila rangi ambayo imevujishwa na yeye mwenyewe.....Nadhani hiki kiuno kipo sokoni kinauzwa.....