Jinsi ya ku-install window 7 au 8 kwakutumia flash bila ya programu yoyote.
Unachotakiwa ni:
1. Flash yako iwe na GB 4
2. DVD ya window 7 au 8
Stepu ya 1: Chomeka fashi yako katika computer na futa kila kitu.
Steou ya 2: Fungua command promt. Kama unatumia window 7 au 8 fungua kama adminstrator
*Nenda katika start-All program-Accesories-Right click on command promt na chagua "Run as administrator"
Stepu ya 3: Katika command promt andika hivi:
DISKPART- Hapo itafunguka Microsoft Diskpat utility
Andika tena
LIST DISK-Hapo iakuonesha namba za disk ambazo zipo katika system yako chagua flash yako ni namba ngapi
Stepu ya 4: Andika comand hizi moja baada ya nyingine
CLEAN
CREATE PARTITION PRIMARY
SELECT PARTITIN 1
ACTIVE
FORMAT F5: NTFS QUICK
ASSIGN
EXIT
Hapo sasa minimize comand alaf endelea na step nyngine
Stepu ya 5: Ingiza disk ya windo 7 au 8 na angalia herufi ya dvd drive yako. Andika comand hizi H(herufi ya dvd drive yako):CD BOOT
BOOTSECT.EXE/NT60 M:(M ni herufi ya flashi drive yako)
Stepu ya 6: Kopi sasa vitu vyote kutoka katika dvd yako ya windo 7 au 8 kwenda katika flashi yako. Steou ingine nenda katika BIOS then change boot priority kwenda kwenye "USB Boot"
Hapo flash yako itakuwa bootable kama hujaelewa comment hapo chini kwa msaada zaidi.Ahsanten